Uchu Na Utamu Wa Kutawala Kwa Mabavu

CreateSpace Independent Publishing Platform
SKU:
9781979653190
|
ISBN13:
9781979653190
$9.76
(No reviews yet)
Condition:
New
Usually Ships in 24hrs
Current Stock:
Estimated Delivery by: | Fastest delivery by:
Adding to cart… The item has been added
Buy ebook
Uchu na Utamu wa Kutawala kwa Mabavu ni kitabu cha historia kinachoeleza namna viongozi wa Tanganyika na Zanzibar na Afrika kwa jumla walivyotawala kwa mkono wa chuma. Mwandishi anaanza kwa kufafanua chanzo cha udikteta katika bara la Afrika, kushamiri kwa mfumo wa utawala wa chama kimoja na kujitokeza kwa mtindo wa kupindua serikali pamoja na vita vya wenyewe kwa wenyewe. Moja katika athari kubwa za mifumo hii ya kimabavu ni kusababisha wananchi wengi kukimbia na kuhama nchi zao na kutokomea ughaibuni kunusuru roho zao. Chini ya utawala wa mabavu umma huishi katika mateso na khofu kubwa katika nchi walizozaliwa bila ya kuwa na matumaini yoyote yale. Ustaadh Hashil Seif Hashil, mwandishi wa kitabu hiki, anaeleza pia kuhusu historia ya ukoloni ya Afrika Mashariki, biashara ya utumwa, siasa ya ukaburu, ukoloni mambo ya leo, ubeberu na kuimurika historia ilivyojaa uongo mwingi ulioandaliwa na wanahistoria Wazungu na wa nchi za Ulaya/Magharibi. Anapendekeza pia njia za kuondoa ufisadi na kurakibisha mambo katika nchi za Afrika na kuleta amani ya kudumu na maendeleo ya kisasa. Kitabu hiki kinastahiki kusomwa na wote, wazee na vijana, wasomi na walalahoi. Hii ni historia halisi ya Afrika Mashariki kwa ufupi ambako Mapambano Bado Yanaendelea.


  • | Author: Hashil Hashil
  • | Publisher: Createspace Independent Publishing Platform
  • | Publication Date: Nov 10, 2017
  • | Number of Pages: 104 pages
  • | Language: Swahili
  • | Binding: Paperback
  • | ISBN-10: 1979653194
  • | ISBN-13: 9781979653190
Author:
Hashil Hashil
Publisher:
Createspace Independent Publishing Platform
Publication Date:
Nov 10, 2017
Number of pages:
104 pages
Language:
Swahili
Binding:
Paperback
ISBN-10:
1979653194
ISBN-13:
9781979653190