
Paka na panya walikuwa marafiki. Walifanya kazi yao na kuishi pamoja. Paka alikuwa mkulima hodari. Alinunua shamba kwa mkulima. Alipanda mahindi mengi. Mahindi yalifanya vizuri. Je, ni nani aliharibu mahindi ya paka? Soma ujue urafiki wa paka na panya.
- | Author: Peter Juma|Jacob Mwasio|Darius Mwasio
- | Publisher: Phoenix Publishers
- | Publication Date: Jul 11, 2022
- | Number of Pages: 28 pages
- | Language: English
- | Binding: Paperback/Juvenile Fiction
- | ISBN-10: 9966479031
- | ISBN-13: 9789966479037
- Author:
- Peter Juma, Jacob Mwasio, Darius Mwasio
- Publisher:
- Phoenix Publishers
- Publication Date:
- Jul 11, 2022
- Number of pages:
- 28 pages
- Language:
- English
- Binding:
- Paperback/Juvenile Fiction
- ISBN-10:
- 9966479031
- ISBN-13:
- 9789966479037