Safari Yangu: Toleo La Pili (Swahili Edition)

CreateSpace Independent Publishing Platform
SKU:
9781539514374
|
ISBN13:
9781539514374
$15.45
(No reviews yet)
Condition:
New
Usually Ships in 24hrs
Current Stock:
Estimated Delivery by: | Fastest delivery by:
Adding to cart… The item has been added
Buy ebook
SAFARI YANGU ni riwaya ya Kiswahili inayoyateka na kuyaakisi maisha ya vijana wengi wanaotamani kufanikiwa maishani kwa njia ya mkato. Mwandishi amejaribu kutumia ufundi wa lugha kwa kuimulika jamii yake na kuyaibua mambo yanayowasibu vijana wengi wa sasa. Zaharani anatamani kuishi Ulaya akiamini kuwa huko ndiko kwenye pepo ya dunia. Anajenga mazoea na mgeni wa kizungu (Eliza) aliyekuja kijijini kwao kwa ajili ya utafiti wa mambo ya misitu na vyanzo vya maji. Eliza anaamua kugharamia safari ya Zaharani ili aishi Ulaya. Hali tete inamkabili Zaharani baada ya mchumba wa Eliza kubaini kuwa Eliza ndiye aliyeidhamini safari ile. Anaamua kuiwekea mguu safari yake na hapo Eliza anamtelekeza Zaharani hotelini nchini Kenya bila ya matakwa yake. Hamu na shauku ya kwenda Ulaya inapotea na kumsababishia matatizo mengi maishani mwake. Hatimaye, mambo yakamzunguka na kumgeuka.
  • | Author: Ali Hilal Ali
  • | Publisher: Createspace Independent Publishing Platform
  • | Publication Date: Oct 13, 2016
  • | Number of Pages: 350 pages
  • | Language: Swahili
  • | Binding: Paperback/Literary Collections
  • | ISBN-10: 1539514374
  • | ISBN-13: 9781539514374
Author:
Ali Hilal Ali
Publisher:
Createspace Independent Publishing Platform
Publication Date:
Oct 13, 2016
Number of pages:
350 pages
Language:
Swahili
Binding:
Paperback/Literary Collections
ISBN-10:
1539514374
ISBN-13:
9781539514374