Kisa Cha Ziwa Swazilaga (Swahili Edition)
CreateSpace Independent Publishing Platform
ISBN13:
9781720911739
$19.23
Kisa hiki ni kisa chenye kusisimua sana na chanye utata mkubwa kuhusu Ziwa Swazilaga. Ziwa hili lilikuwa linapendwa sana na watu wa kila rika ila sasa hivi limegeuka kuwa sehemu ambayo hakuna mtu hata mmoja anapenda kubakia peke yake katika ziwa hili baada ya jua kuzama. Ni nini kilichosibu na kusababisha watu kuwa na hofu kubwa ya ziwa hili zuri hivi? Utata wa hofu hiyo utasisimua watoto na kwafundisha sana kwa vile utata huo uligeuka pasipo kutarajia kuwa na ukweli ndani yake.
- | Author: Pauline Mandari
- | Publisher: Createspace Independent Publishing Platform
- | Publication Date: Jun 07, 2018
- | Number of Pages: 32 pages
- | Language: Swahili
- | Binding: Paperback
- | ISBN-10: 1720911738
- | ISBN-13: 9781720911739
- Author:
- Pauline Mandari
- Publisher:
- Createspace Independent Publishing Platform
- Publication Date:
- Jun 07, 2018
- Number of pages:
- 32 pages
- Language:
- Swahili
- Binding:
- Paperback
- ISBN-10:
- 1720911738
- ISBN-13:
- 9781720911739