Mtu Wa Kazi

CreateSpace Independent Publishing Platform
SKU:
9781984026538
|
ISBN13:
9781984026538
$11.48
(No reviews yet)
Condition:
New
Usually Ships in 24hrs
Current Stock:
Estimated Delivery by: | Fastest delivery by:
Adding to cart… The item has been added
Buy ebook
Muhtasari (Kiswahili): Mapenzi huponya. Mapenzi huangamiza. Kuwa makini. G aka Ganzi, kijana katili muuaji asiye na chembe ya huruma, anadondokea katika penzi zito la msichana mrembo aitwae Tausi. Miezi mitatu kabla, kijana huyo alikuwa hahitaji kuwa na rafiki wala mpenzi, akiongoza operesheni za kijambazi za kundi maarufu na katili liitwalo Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe, lakini baada ya kutokea mrembo huyo, anajikuta akiwa amezama hasikii haoni kwa mrembo kiasi cha kujikuta akiamua kusaliti kundi hilo lililomlea na kumtajirisha na kuamua kumwaga damu ya yeyote anayetaka kumtenganisha na mrembo Tausi. Lakini asilolijua ni kwamba … Riwaya hii iliwahi kutamba sana kwenye magazeti ya Jangwani, Kiu na Jambo leo kiasi ambacho mwandishi alipata maoni mengi mno aitolee kitabu, na kutokana na maombi hayo, sasa uhondo upo mbele ya macho yako. Nakuhakikishia, utakapokishika kitabu hiki na kuanza kukisoma hutatamani kukiweka chini mpaka ukimalize na huenda baada ya kukimaliza ukaamua kurudia kukisoma tena na tena. Français: Mtu wa kazi est un roman populaire en kiswahili à la croisée du roman policier et psychologique. Il a d’abord été publié en feuilletons dans les journaux Jangwani, Kiu et Jambo leo. Devant le succès rencontré auprès des lecteurs, il a été auto-édité en 2016 et est aussi disponible dans des applications de lecture sur smartphone codées en Afrique de l’Est, comme Uwaridi. La présente édition par Buluu Publishing étend la diffusion de cette oeuvre. G alias Ganzi (la Torpeur NDT) est un jeune meurtrier cruel et sans pitié. Il coule progressivement au fond d’un grand amour avec la belle Tausi (le Paon NDT). Il y a trois mois ce jeune homme n’avait besoin de personne et dirigeait les opérations criminelles du célèbre et cruel groupe nommé le Capital du pauvre est sa propre force. Mais après la venue de cette belle femme, il se sent sombrer, sourd et aveugle auprès d’elle. Au point qu’il se retrouve à trahir l’organisation qui l’a élevé et rendu riche et a décidé de verser le sang de quiconque veut le séparer de la belle Tausi. Mais ce qu’il ignore est que … À propos de l’auteur: Suleiman Ali Kijogoo est né en 1977 à Dar es Salaam, Tanzanie. Il est l’auteur de plusieurs romans à succès dont Kisasi, Kikulacho kiko nguoni mwako, Pigo la moyo, Zawadi yako et Mtu wa kazi. Il reconnaît l’influence de Ben R. Mtobwa, auteur tanzanien célèbre de langue swahilie qui a écrit de nombreux romans populaires. Kijogoo est aussi l’auteur de traités de psychologie au sujet des relations amoureuses ou de la vie en général comme Saikolojia ya maisha I et II, et Saikolojia ya mapenzi I et II. Il est connu du grand public par ses feuilletons dans la plupart des grands quotidiens tanzaniens et pour le blog BongoWriters.


  • | Author: Suleiman A. Kijogoo
  • | Publisher: Createspace Independent Publishing Platform
  • | Publication Date: Jan 20, 2018
  • | Number of Pages: 190 pages
  • | Language: Swahili
  • | Binding: Paperback
  • | ISBN-10: 1984026534
  • | ISBN-13: 9781984026538
Author:
Suleiman A. Kijogoo
Publisher:
Createspace Independent Publishing Platform
Publication Date:
Jan 20, 2018
Number of pages:
190 pages
Language:
Swahili
Binding:
Paperback
ISBN-10:
1984026534
ISBN-13:
9781984026538