Chozi La Sundi: Siri YA Mauji YA Vikongwe Na Albino Afrika (Swahili Edition)

CreateSpace Independent Publishing Platform
SKU:
9781987771336
|
ISBN13:
9781987771336
$11.48
(No reviews yet)
Condition:
New
Usually Ships in 24hrs
Current Stock:
Estimated Delivery by: | Fastest delivery by:
Adding to cart… The item has been added
Buy ebook
Chozi la Sundi ni hadithi inayomwelezea binti mdogo mwenye ulemavu wa ngozi anayeishi kijijini kwenye jamii ya kabila la wasukuma wanaopatikana nchini Tanzania. Katika hadithi hii mwandishi ameonesha namna mila na desturi za kiafrika zinavyowanyanyasa watu wenye mahitaji maalumu kama walemavu wa ngozi na vikongwe. Walemavu wa ngozi wananyanyaswa, wanatengwa na jamii pia wanawindwa kuuawa kwa imani potofu. Vikongwe nao wanawindwa kuuawa kwa imani kuwa ni washirikina wanaokwamisha maendeleo. Natumaini kuwa itatoa mafundisho mengi kwa jamii kuepukana na mauaji ya vikongwe na albino na kuonesha umuhimu wa kuthamini haki ya kila mtu kuishi kama ilivyo katika mikataba ya kimataifa na katiba za nchi mbalimbali.

  • | Author: Wilfred Akasi
  • | Publisher: Createspace Independent Publishing Platform
  • | Publication Date: Apr 12, 2018
  • | Number of Pages: 66 pages
  • | Language: Swahili
  • | Binding: Paperback
  • | ISBN-10: 1987771338
  • | ISBN-13: 9781987771336
Author:
Wilfred Akasi
Publisher:
Createspace Independent Publishing Platform
Publication Date:
Apr 12, 2018
Number of pages:
66 pages
Language:
Swahili
Binding:
Paperback
ISBN-10:
1987771338
ISBN-13:
9781987771336