Usalama Barabarani (Swahili Edition)

Phoenix Publishers
SKU:
9789966472151
|
ISBN13:
9789966472151
$18.37
(No reviews yet)
Condition:
New
Usually Ships in 24hrs
Current Stock:
Estimated Delivery by: | Fastest delivery by:
Adding to cart… The item has been added
Buy ebook
Idadi ya watu wanaokufa kila mwaka nchini Kenya kutokana na ajali za barabarani ni kubwa mno, kiasi kwamba ni lazima kila mtu ahusishwe katika kulitafutia tatizo hili suluhisho. Kitabu hiki kinaangazia mambo fulani yanayohusu usalama barabarani kwa lugha nyepesi. Kinaeleza juu ya njia bora za kutumia barabara kwa watembeaji kwa miguu, abiria, waendeshaji baisikeli na madereva wa magari; kile kinachosababisha ajali za barabarani na jinsi ya kuepukana nazo; huduma ya kwanza na vilevile jinsi ya kutekeleza kanuni za sheria za barabarani. Maelezo haya ni yenye manufaa makubwa kwa wanafunzi na watu wazima vilevile.


  • | Author: Adaka Kisia
  • | Publisher: Phoenix Publishers
  • | Publication Date: Aug 08, 2022
  • | Number of Pages: 50 pages
  • | Language: Swahili
  • | Binding: Paperback
  • | ISBN-10: 9966472150
  • | ISBN-13: 9789966472151
Author:
Adaka Kisia
Publisher:
Phoenix Publishers
Publication Date:
Aug 08, 2022
Number of pages:
50 pages
Language:
Swahili
Binding:
Paperback
ISBN-10:
9966472150
ISBN-13:
9789966472151