Sale Now on! Extra 5% off Sitewide

Faidika Na Methali, Nahau Na Vitendawili (Swahili Edition)

Phoenix Publishers
SKU:
9789966478795
|
ISBN13:
9789966478795
$30.32
(No reviews yet)
Condition:
New
Usually Ships in 24hrs
Current Stock:
Estimated Delivery by: | Fastest delivery by:
Adding to cart… The item has been added
Buy ebook
FAIDIKA NA METHALI, NAHAU NA VITENDAWILI ni kitabu kilichoandikwa kwa ajili ya wanafunzi wa Kenya. Hata hivyo, kinaweza kutumika katika nchi yoyote ya Jumuia ya Afrika Mashariki na penginepo Kiswahili kinapozungumzwa. Katika mkusanyo huu, wanafunzi wa Shule za Msingi pamoja na walimu wao wataweza kufaidika kwa kuwa na kitabu kimoja chenye fani hizi - methali, nahau na vitendawili - zote katika fumbato moja. Msomaji anapokimaliza vyema kitabu hiki atakuwa amejiongezea msamiati na idadi kubwa ya methali, nahau na vitendawili. Aidha, atakuwa mweledi wa lugha ya kisanii (fasihi) kwani ataweza kubaini na kueleza ujumbe uliyomo kwenye methali, nahau na vitendawili, na pia kuzitumia fani hizo katika miktadha mbalimbali


  • | Author: Ali Abdulla Ali
  • | Publisher: Phoenix Publishers
  • | Publication Date: Jul 31, 2022
  • | Number of Pages: 148 pages
  • | Language: Swahili
  • | Binding: Paperback/Foreign Language Study
  • | ISBN-10: 9966478795
  • | ISBN-13: 9789966478795
Author:
Ali Abdulla Ali
Publisher:
Phoenix Publishers
Publication Date:
Jul 31, 2022
Number of pages:
148 pages
Language:
Swahili
Binding:
Paperback/Foreign Language Study
ISBN-10:
9966478795
ISBN-13:
9789966478795