Zani Na Zuma Mashakani (Swahili Edition)
Phoenix Publishers
ISBN13:
9789966479617
$20.21
Mchezo wa kupata shabaha umepata umaarufu sana katika kijiji cha Chaka. Wakati huo huo, uwanja wa Shule ya Msingi ya Chaka umejaa mifugo na wachungaji, wanaokuja uwalisha mifugo na pia kucheza mchezo huo. Je, mchezo huo utaleta mashaka? Je, ni kipi kinachowasukuma vijana kukiuka sheria za msitu? Na je, watapata adhabu gani kwa kuvunja sheria za msitu huo? Soma hadithi hii upate uhondo.
- | Author: Mwenda Mbatia
- | Publisher: Phoenix Publishers
- | Publication Date: Jul 18, 2022
- | Number of Pages: 56 pages
- | Language: Swahili
- | Binding: Paperback
- | ISBN-10: 9966479619
- | ISBN-13: 9789966479617
- Author:
- Mwenda Mbatia
- Publisher:
- Phoenix Publishers
- Publication Date:
- Jul 18, 2022
- Number of pages:
- 56 pages
- Language:
- Swahili
- Binding:
- Paperback
- ISBN-10:
- 9966479619
- ISBN-13:
- 9789966479617